iqna

IQNA

walowezi wakizayuni
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa amesisitiza uharamu wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni wa Israel katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina na kubainisha kuwa hatua hiyo ni kikwazo kikubwa cha amani.
Habari ID: 3475685    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/26